“Wanangu wapendwa! Hata leo - wakati Mungu ameniruhusu kuwaleteeni mtoto Yesu, mfalme wa amani, ili awajaze kwa shauku ya upendo na amani, ili kila moyo uwe kama moyo wake katika wakati huu wa neema - iweni watetezi jasiri wa upendo wa Mungu wenu, ili awape amani yake katika wakati huu wa neema. Asanteni kwa kuitikia wito wangu. ”